Monday, November 30, 2015


 
VIPAUMBELE VYA RAIS MAGUFULI
1.Mapambano dhidi ya Rushwa na ufisadi(kuanzisha Mahakama ya Rushwa/Wahujumu uchumi).
2. Utatuzi migogoro ya ardhi.
3. Kuimarisha Bandari.
4.Ukosefu wa Maji
5.Mamlaka ya Mapato(ukusanyaji wa kodi kuongezwa).
6.Tanesco (umeme wa uhakika ili kuimarisha uchumi na kukabiliana na wahujumu).
7. Kuondoa kero za Maliasili na Utalii.
8.Kufufua na kuanzisha viwanda vipya(walionunua bila kuviendeleza watanyang'anywa).
9.Kilimo, Ufugaji na Uvuvi(Tuna ng'ombe milioni 23 na kushika nafasi ya pili Afrika nyuma ya Ethiopia. Lakini tunaagiza bidhaa za ngozi nje ya nchi).
10.Afya; bajeti ya dawa itaongezwa, nidhamu ya watumishi, kila mkoa kuwa na Hospitali ya Rufaa. Hospitali kila wilaya. Zahanati kila kijiji na Kata.
11.Elimu bure kuanzia shule ya msingi hadi sekondari

12.Kupambana na Dawa za Kulevya.

13. Kuimarisha nidhamu ya utumishi wa Umma.
15.Baraza la Mawaziri kuwa dogo.
16.Kulinda Muungano.
17.Ujenzi wa Nyumba za Walimu.
18.Kukomesha Matumizi mabaya.
19. Kutatua kero, ujenzi wa nyumba za Askari na vitendea kazi jeshi la Polisi.
20. Kuondoa urasimu maeneo ya Mizani.
21.Kutengeneza ajira kwa 40%.
22.Viongozi walarushwa kutimuliwa na kushtakiwa.
23.Kupunguza safari za Nje.


 

 

No comments:

Post a Comment