Thursday, November 26, 2015

HADITH

HADITHI..MWANDISH ELIA ABEL MWALUKALI
“NILIOLEWA NA MALAIKA……..NIKAMUUA MALAIKA”

SURA YA KWANZA

GO MALAIKA JAMES …GO

 

“Go malaika james..go…go please”

Ilikua ni sauti yamwenyezi  mungu,muumba nchi na aridhi baba asiye na mwanzo wala asiye julikana mwisho wake ni upi.

“No my lord god..I will not go”

James alimwambia mungu,huku akionesha maringo,majivuno na kiburi ndani ya moyo wake.jambo ambalo lilimchukiza sana mwenyezi mungu,lakini kwa vile mungu ni mwenye nyingi rehema ,upole busara ,amani na utulivu alihamua kuenderea kumbembeleza malaika james,aende duniani

Wengi wanasema uzee ni dawa ndivyo ilivyo kua kwa mwenyezi mungu,yeye umbembereza mtu yeyote Yule amtakaye,yeye umsonga mtu yeyote Yule ampendaye,kwa vile yeye si athumani basi upendo wake upon kwa kila kiumbe kionekanacho na kile kisicho onekana.

 

Kwanini utaki kwenda duniani malaika jamesi?”

Mwenye heri,rehema na neema alimuuliza malaika james,huku umati wa wazee wenye hekima busara na elimu ya mambo ya dunia na mbingu,bahari na aridhi ukimzunguka miguuni pake nao wakimwangukia kifundi fundi,wakimwabudu na kumyenyekea,wakimlilia na kumwimbia,huo ulikua ni upande wa mashariki kwake na upande wa magharibi kwake walikuwepo malaika  wengi sana idadi yao haipo duniani wala juhanamu,idadi yao ni kama wingi wa nyota   zingarazo juu mbinguni kwnye giza jeusi tii.

 

Na malaika hao walikua na kazi moja kuu kumwimbia mwenyezi mungu nyimbo tamu za kusisimua,kumwimbia mwenyezi mungu mashairi,tenzi,ngonjera,tenzi za rohoni pamoja na zaburi,malaika hao ndio malaika wa nyimbo malaika wakuu  wenye vipawa  na vipaji vya kuimba kwa sauti ambazo kamwe hazipo duniani  au jehanamu.na kati kati ya eneo ambalo mwenyezi mungu mjaa neema na mjaa nguvu na haki aliketi hapo ndipo  malaika jamesi alipopiga goti lake ameinama kichwa chini,anaogopa kumtiza Yule mwenye heri Baraka na neema,anaogopa kumtizama macho yake,anaogopa kumtizama mdomo wake,anaogopa  kuisikiliza sauti yake,anaogopa ndio anamwogopa mtu huyu aliye keti kwenye kiti cha ufahari,kiti kilicho pambwa kwa wingi wa vito vya thamani,zahabu,lulu,almasi na madini mengineyo mengi yasiyopatikana duniani wala jehanamu.

 

Baba ni heri umtume malaika mwingine lakini sio mimi baba, nasema kweli baba siwezi na tena sina uwezo wa kwenda duniani.

Malaika jamesi alimjibu mwenye heri na Baraka  na upendo na huruma naupole.

\Mwenye heri akamtizama  malaika james

sio kwamba mwenye heri asingeweza kumwadhibu malaika james kwa kiburi alicho kua akikionesha mahari pakle patakatifu,lakini ikumbukwe kwamba mwenye heri ni mpore nan i mwenye  huruma sana,kwanza anajari na anathamini,mawazo na chaguo la kiumbe kilicho 

Hai ndio maana mwenye heri akuchukua maamuzi ya haraka au maamuzi ya ghadhabu,zaidi ya kumtizama malaika james akisubiria jibu kutoka kwenye kinywa chake kinywa cha malaika james,kudhihirisha namna gani amekubari au namna gani analikataa ombi la mwenye heri.

 Mwenyezi mungu mgawaji wa neema akamtizama malaika james,akamtizama  kwa macho ya upole huruma na wema kisha akamwita kwa sauti iliyo jaa upole malaika james akaitika na kumtizama  mwenye heri macho yao yakagongana,wakatizamana

 

Nninakutuma wewe kwa sabau nitakusaidia,nenda,nenda usiogope nenda duniani,nenda kaitangazie dunia kua siku za mwisho zimefika,neenda kaiambie dunia kua zambi zao zinahesabia,nenda kawaambie walimwengu kua  kila tendo,kila neno,kila fikra,kila wazo la mwanadamu,liwe jema au liwe baya mwenyezi mungu ameliona na mwenyezi mungu  atashusha makari yake kwa wale wote walio jaa kufuru,kwa wale wote watendao yaliyo machukizo na machafu  yasiyo pendeza katika macho yangu.”

 

Nenda tafadhari,nenda james nenda kawaokoe wote walio wangu duniani,neda kawatafute wote waliopotea duniani nawe uwarudishe katika nyumba yangu wawe ni kindoo wenye furaha, kondoo wenye mchungaji,kondoo  na mchungaji awapaye hitaji lao lote la kibinadamu,uwalishe,uwanyweshe,uwalaze,uwavike na zaidi ya yote uwafundishe kuwa mimi ni mungu,mimi ni mmoja nan i mim tu ndiye ninaye paswa kuabudiwa,hakuna mungu mwingine zaidi ya mimi……

 

Go malaika james go….

Mwenyezi mungu alihitimisha kwa kumwambia kwa upole malaika james

James bado  tu alionesha hali ya kusita sita,hali ya kuogopa,hali ya kutia hofu na hali ya kujaa mashaka na woga ulio mtawala,

Hakutaka kuja duniani hakutaka na tena hakutaka,sijui ni kwa nini hakutaka hata mimi sijui kwanini james hakutaka kuja duniani kuuleta ujumbe mtakatifu wa mwenyezi mungu mwenye heri mwenye Baraka mwenye nyingi huruma na rehema.

 

Kwa ghafra mbingu  zikaanza kufunguka,sauti za  wale malaika walio kua wakimwimbia mungu nazo zilienderea kuvuka kila pande ya  ulimwengu ule,na wale wazee  walio kua wakimwangukia na kumwabudu Yule mzee mwenye heri bado tu walienderea kufanya hivyo hivyo wakimwangukia kifundi fundi,pasipo kuchoka.

 

Sauti za  mabaragumu,mataumbeta,vinanda  ngoma na vifaa vinginevyo vingi vinavyo zalisha muziki zilisikika kila pande ya ulimwengu ule,malaika walienderea kuimba na kusifu malaika walienderea kucheza na kuzunguka pande za ule ulimwengu,ulimwengu ambao hakuna mwanadamu aliye hai ameweza kufika,ni ulimwengu wa kipekee sana ni ulimwengu war oho,ni ulimwengu wa wale ambao hawaonekaniki kamwe si kwa macho si kwa darubini na wala si kwa  uchawi wala kwa matun guri,ni ulimwengu wa kipekee sana  kuwepo  ulimwenguni.

 Sauti za wale malaika zilienderea kusikiaka zikapanda na kushuka,zikivuma na kuvumuka,zikipaa na kupaika

 

“Mwibieni nyimbo enyi mbinguni

Mwimbieni nyimbo za kumsifu,

yeye ndiye mkuu,yeye ndiye mkuu

yeye ndiye mkuu,yeye ndiye bwana wetu

anayepaswa kuabudiwa,halleluya jehhova

haleluya jehhova,halleluya jehhova halleluya”.

 

Malaika wale walienderea kuimba kwa furaha.na kadri walivyozidi kuimba ndivyo malaika james alivyo zidi kupotea kutoka katika ulimwengu wake na kueleka ulimwengu mwingine,ulimwengu  ulimwengu aliotumwa kupeleka ujumbe,ujumbe mtakatifu ujumbe wa mwenyezi mungu,ndio ujumbe na ujumbe huo james alipaswa kuupereka mara moja na  na baada ya kupereka jumbe  hizo alipaswa kurejea  tena katika dunia ya kwao dunia ambayo hakun mateso,hakuna shida,hakutana taabu,maangaiko,maumivu, ni dunia yenye raha na starehe ni dunia yenye wingi wa huba,mahaba na mapenzi,dunia ya watakatifu,dunia ya wavaao mavazi meupe yangaayo kupita kiasi yaani  mavazi hayo hayapo na haytakuja  kuwepo duniani.

 

 

James sasa alishaa aga kwao na sasa anaingia katika dunia mpya na dunia,dunia ambayo hakuitaka,alikubari tu kuja kwa shingo upande,alikubari tu kwa sababu mwenye heri na mwenye huruma alimwomba   akubari,atii  na afanye kama vile aLivyotakiwa kufanya,japokua roho yake iligoma,lakini ili kuonesha utiifu kwa babaye james alikubari,alikubari kwa sababu ya tama zake tu,tama za kuvikwa taji na cheo kikuu ajapo rejea tena katika dunia yake,ajapomaliza kazi ambayo ameagizwa kuifanya ndi ni tama tu ndizo zilizo mvuta james hadi akachukua uamuzi wa kwenda ulimwengu ambao sio wake.

               *****************************

“Mmhhh!!!”

 Nilibaki nashangaa na kupigwa na butwaa yaani kusikia  yale yote ambayo mume wangu james alikua akiniadithia,kisu kikienderea kuninginia kwenye tumbo lake, damu nayo ilienderea kumchuruzika ikalowanisha nguo zake zote nyeupe nazo zikawa nyekundu zinatisha kwa wingi wa damu ambazo zilimtoka mume wangu pasipo kikomo,

 

Nilishangaa sana kwa jinsi mume wangu james alivyo kua akieleza,nilishangaa na nikabaki kumshangaa zaidi,kwani sikutarajia katika maisha yangu kusikia maneno yale,siku zote nilizoishi naye alikua na alionekana ni binadamu wa kawaida lakini iweje leo aniambie yeye ni malaika na malaika ambaye  alitumwa kuleta ujumbe duniani.

 

“Niletee maji ya kunywa  Sophia,”

James aliniomba nimletee maji

Huku bado anatetemeka,mwili wake amekishikiria kisu nilichomchoma,anatamani kukiondoa klakini nguvu hana na nguvu zimemwishia,anapumua kwa taabu,anapepesa pepesa macho yake huku na huko hajiwezi yu mahuuti masikini james nilianza kumwonea huruma nilianza kujutia kitendo nilicho kifanya lakini nifanyeje ndugu zangu tendo nimeshaalifanya na  pamoja na majuto yanaenderea kuutesa mtima wangu.

 

Niliamka mahari pale haraka nikajifunga kanga yangu,mikononi nimejaa damu nyingi zilizo gandiana,nikayatwa maji ya kunywa  kwenye glass na baada ya kuyatatwaa nikampa mume wangu james ayanywe.

 

Sijui kwanini niliingiwa naroho ya kinyama namna ile,sijui ni kinini  kilicho nifanya nighadhibike na kutenda tendo hovu kama lile,japo kua inauma na inasikitisha wacha nienderee kusimulia.

No comments:

Post a Comment