Sunday, January 6, 2013

 tuna wapenda sana watoto wetu.
 tunawapa vifaa vya kuchezea
 tuna jua kuwa michezo yao huibua vipaji.....
 michezo kwa watoto ni afya
 na kipaji cha mtoto uanzia michezoni
 mimi ninawapenda sana watoto
 hao ndio taifa letu la kesho
 tuwajengee mazingira mazuri ya kucheza
 wawe na furhaaaa iliyo pitiliza
 wao wana penda kujifunza kutoka kwa wenzao
 pia uigilizana kadri wanavyo kua
furahaa ya mtoto ndio furahaaa ya mzazi
                                   DIARY OF ELIA KIM MWALUKALI

No comments:

Post a Comment