Tuesday, June 21, 2011

OOOSH........MPENZI WANGU ELIMU [OOOSH MY LOVE KNOWLEDGE]

 GOOD DAY .....every one....bwana asifiwe.... assalam aleykum......mimi nimepoa na nina rahaa sana moyon kuchati na nyie mahari hapa sasa tuendereee... nime kuja na topic mpya ya u akika ile mbaya kinoma ..im sure mtaipenda wote .....lets go on...

    Kamwe sikuachi wewe ndie nuru ya mwanga wangu nakupenda nitakupenda na nitaenderea kukupenda daima..nikuache wewe niende kwa nani ewe faraja yangu unaye nifariji na kunitia moyo kila ninapokuwaza na kutafakari wewe ni wa pekee katika maisha yangu,kama wapo wengine fahamu hao wote ni wa kupita tu  si kama wewe uliye moyoni mwangu

kila lilo jema halina budi kisifiwa kupendwa na kufurahiwa na kila mtu kwa kuwa wewe elimu  mpenzi wangu umeonesha wema katika maisha yangu sina budi kukusifia kukupenda na kukufurahia siku zote mambo mengi sana mpenzi wangu wanipatia .wengi huniuliza sana kwa nini nakupenda wewehivyo kwa maswali haya sina budi kuya weka yote uliyonitendea ili wajue kwanini wanipenda sana ewe tulizo la moyo wangu
        wengi usema kwamba maisha bila pesa ni tabu na shida tupu pia husema ni vigumu kupata pesa bila kuwa na ajira . kwa kuwa nipo na wewe mpenzi wangu  ajira umenipatia na pesa kunishikisha  umenifanya  kujitawala sio kutawaliwa.
     
              kila ninapokuwaza hujiona nipo kwenye ulimwengu wa ajabu sana maishayangu yote ni wazi kwamba wewe umeyatawala sifa hii ni yako wewe mpenzi wangu lakini si ya pekee fahamu kuwa umesheheni sifa nyingi za za kupendeza

          umenipatia uhuru wa kusgangazakupigania na kurinda haki zangu za msingi  umenisaidia nipo huru kabisa wala si mtumwa  dhamira yako kwangu inazidi kutimia kila siku  ewe mpenzi wangu elimu nina uona upendo wako wa kwelina dhati kabisa  katika maisha maisha  yangu . kwa kuwa nipo nawe sioni mwingine  wa kunisumbua  juu ya haki zangu sina mwingine chini ya mbingu ila wewe uliye moyoni mwangu
            Eee liwazo la moyo wangu maisha bora na mwanana  wewe umeniandaria sina sababu ya kufikiri sana kwani lolote jema wewe unaniongoza kufanya  nimeboresha maisha yangu kupitia wewe uliye nami daima naweza kuyamudu maisha na kuzikabili changamoto zake kwa msaada wako niseme nini juu yako
              Hatakama nitakusema basi nitakusifia na kukupongeza tu kwa wema upendo na msaada wako katika maisha yangu nimefahamu mambo mengi sana ulimwenguni  kupitia wewe mpenzi wangu wa kufa na kuzikana .lipi jipya nisilolijua katika dunia hii ya sasa nimefahamu UTANDAWAZInimefahamu DEMOCRASIA ,  MUZIKI kwangu si kitendawili

     Zaidi ya yote umenifunza UZALENDOumenifunza uzalendo wa KUPENDA ASILI YANGU ,KUJIPENDA MWENYEWE ,KUIPENDA LANGI YANGU KUPENDA UTU WANGU  kamaMWAFRIKA  KUPENDA NCHI YANGU  KWA MOYO WANGU WOTE.naona fahari kuimba ''OOOH TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE '' yote haya ni kwa sababu upo na mimi  nikilala nakuota nikiamka nakuona  nani kikaa nakuwaza wewe mpenzi wangu adhimu  ni wazi kuwa maisha yangu yapo katika mikono yako.....Elimu wangu nilipokuwa darasani kukutafuta haukujificha  ulikuja kwangu kwa moyo mmoja  bila kinyongo kila ulivyozidi kunijaaa moyoni  na mawazoni  mwangugiza la ujinga  lilikimbia mbali na nuru ya ufahamu ilinijaaa.

      Wengi hukuona kama mzigo ,lakini ukweli ni kwamba ujinga ndio mzigo hasa u mtamu sana mpenzi wangu elimu  najisikia fahari kuwa nawe daimaaNaamini hata sasa upo nami na unaniongoza kuzielezea sifa zako hizo weweuko nami kila niendako wanilinda upendo wako umenifunika wema wako umenizunguka Eee muhibu ,kipenzi cha nafasi yangu asante kunifanya hivi nilivyo nitakutumia kwa manufaa yangu ya familia yangu kwa jamii yote Zaidi sana nita kutumia kwa manufaa ya nchi yangu na watu wote kwa ujumla  najua unapenda sana tufanikiwe  nitafanya hivyo hii ni ahadi  ya milele kwako usiniache mpenzi  

                  Neme nini nimekuita mpenzi wangu lakini hilo si jina pekee ulilo nalo wewe ni faraja langu wewe ni asali la moyo wangu wewe ni tunu langu  na wewe ni ua la maisha yangu fahamu kuwa wewe ndiwe maisha yangu  ya sas  na bahaade  nifariji niliwaze  nitulize nitie moyo wangu  wewe nikupendaye  na unipendeye  kupia upeo             
                                                         MPENZI WANGU   ELIMU.......''MY DARING KNOWLEDGE
                     

No comments:

Post a Comment