Tuesday, July 12, 2011

JINI AITWAYE ''MAIMUNA'' Saqiwtwaye

jini aitwaye maimuna saqitwi  huyu ni shetani mwovu  na umtia mwanadamu athari nyingi sana ...jini huyu aitwaye saqitwi l-jini akimnasa binadamu humsababishia  mikosi  maradhi  kuchukiwa au kuchukia.....

         jinsi anavyo mletea mwanadamu mabalaa
       1.kuumia kwa ajali mbaya mfano safarini,
       2.kudhulumiwa mali zako,
       3.kusingiziwa usilo litenda,
       4.kuhisiwa kuwa wewe ni mchawi,
       5 kuvamiwa na wezi au maadui zako hata kama hauna mali wan
         akuja kukutesa tu
       6.kupatwa na mikasa na askari na kufungwa tu 
       7.kukosa kila bahati
       8.kukataliwa/kukataa kuoa au kuolewa hapendwi  kutopata ba
         hati ya kuoa  kila mkienda wakataliwa
       9.wachumba wengi lakini ndoa hakuna
       10.viungo kukosa nguvu ukiwa kwenye masomo ,
       
          
                BAADHI YA MAGONJWA YA JINI MAIMUNA

         1kuchezwa chezwa na nyama kwenye mwili
         2.ganzi mwilini
         3kukaukwa na koo na kuchomwa kooni kama moto
         4kiungulia na kutapika mapovu
         5kuumwa kichwa na kuisi kitu kinatembea utosini
         6.kupatwa na ganzi kichwani ,laki inahamahama  
             na kwenda sehemu nyingine
          7.kuumwa tofauti tofauti mwilini mfano ugonjwa ukiwa k
             wenye miguu unaenda sehemu nyingine mfano mgongoni
          8 kushituka kujirusha kughara ghara ovyo usingizini na
             kucheka cheka ovyo .
          9. kusonya kila wakati usingizini na kutukana tukana
          10.kupoteza isia zote mwilini asa hisia za tendo la
              ndoa
          11.kuzaa watoto wabovu hata kufa kila mtoto atakaye zal
              iwa.
          12.kuzaa watoto wenye ulemavu
          13. mimba uweza kupitiliza miezi kumi na mbili na m    
                  toto atakaye zaliwa ufa
                
   
         
                    ....ASANTE NI SANA........
                       ''naomba toa maoni yako ili kuongeza mawazo yako''

2 comments: