Monday, March 24, 2014

sura ya nne inaenderea


Sura ya nne

                            FASHION SHOW

Baada ya pumziko  fupi la siku tatu  kuisha makundi yote matano pamoja na washiriki walikutana tena  safari hii hadhira haikupewa nafasi ya kushiriki kwani  kwa siku tatu za mbeleni washiriki walipaswa kubuni mavazi na mitindo  mbalimbali na baada ya siku tatu  hadhira ilipewa nafasi ya kushuhudia  mizigo mipya  kutoka kwa vijana wenye vipaji na ubunifu wa hali ya juu.

Siku hiyo vitambaa vya aina mbali mbali walipewa vilikuwepo vya  utamaduni wa kimasai maharufu kama lubega, ngozi za wanyama kama vile pundamilia,simbachui,chetta,ngombe,kondoo,manyoya ya kuku,kanga,tausi,kuku na mikufu havikukosekana.

 

Vitambaa vya sufu,vitambaa vya pamba na vinginevyo laini laini walipewa sasa walichoitaji ni ubunifu wa mavazi aina yoyote ile.sheria mpya ilitangazwa kwamba kila kundi lilihitaji kutoa watu watatu watakaochuana  vikali iwapo kundi au makundi ya hao watu watafanya vibaya ndipo hao wenye kundi au makundi watafungasha virago ili kurudi makwao.

Kundi la lazima tushinde wakapewa kila kitu kilichohitajika kwenye ile shughuri pevu. Wao binafsi walipenderea kushona aina tatu za mavazi, kwanza kabisa walitengeneza  aina ya vazi la bakiti jeupe na kikoi chake akavishwa bibie lerato. Pili wakashona vazi lipendwalo na mwanamke wa Nigeria  vazi lililo daliziwa kwa maua maua pamoja na kiremba chake akavishwa mama silvano, na mwisho wakashona vazi la kanga hili vazi walilipa jina la mama Africa  bibie andunje akavishwa akapendeza.kwa bahati nzuri wengi wa washiriki kwenye kundi ili walikua na utaalamu wa kushona kwa kutumia cherehani.

Baada ya kumalizia shughuri ile pevu likaitwa kundi la wakari classics.nao wakapewa walichotaka,hawakua na makuu sana siku ile maana hofu ya kutokufanikiwa iliwatawala sana,ukitegemea hakuna yeyote miongoni mwao aliyejua kushona kwa kutumia  mashine ya cherehani ,lakini Mungu alivyo mwema walipata wazo kwamba iliwapasa wasife mioyo yao,waoneshe uzarendo wao hata kama mahari pale hakuna uzarendo, hivyo basi wakapata idea ya kushona kwa kutumia sindano ya mkonono iliyojulikana kwa jina la sewing niddle.

vijana watatu wa kiume wakaitwa mbele yao wakapimwa vizuri kila pande ya mwili wao, na baada ya kuridhika na ule upimaji vitambaa vya aina mbalimbali vilikatwa,taratibu zingine zilienderea kufuatwa kwa kutumia chalks,mikasi,uzi na sindano kulinganana na vipimo.

 Kwanza kabisa walichukua ngozi ya kondoo na kushona siglend na bahati nzuri ile ngozi ya sufu ilikua na manyoya mengi ,pili waka shone short au kaptura yenye ngozi ya sufu, na tatu wakashona kofia ya mkeka na kuweka ngozi ya sufu na wakamalizia kwa kushona viatu vya ngozi ya ngombe kwa kuwekea ngozi ya kondoo vazi lile alivishwa Beni Toto.

Baada ya shughuri ile pevu wakachukua kitambaa laini hicho wakakidarizi kwa kushona suti yenye rangi mbili mbele nyeupe na upande wa nyuma nyeusi,pia wakatafuta kofia nyeupe iliyopambwa ua jeusi akapewa Elia Abelia.

Baaada ya kazi ile matata wakashona  vazi moja matata lenye rangi nyeupe lililosheheni manyoya ya sufu nyeupe sufu safi iliyotoka nchi ya Canada bara la Australia,sufu ile ilisheheni manyoya pande zote tena vazi likawa refu .walipoulizwa lile vazi ni maalumu kwa ajiri ya nini wao wakajibu ni maalumu kwa ajiri ya kipindi cha baridi au kipindi cha barafu.chini ya lile vazi walitupia kiatu kimoja kirefu cha ngozi ya ngombe kilikua ni kirefu kama  magwanda ya jeshiniukitegemea kiatu kile kilizidia urefu mpaka kufikia mapajani viatu vile ni viatu ambavyo utengenezwa sana nchini Kenya akapewa Nairobi akavaa akawaka kwa kupendeza.na baada ya shughuri ile nene walipomaliza wakapewa ishara ya kuondoka.

Likaitwa kundi la sisi ni balaa na kundi la samba dumezi na simba jikezi maana safari hii yote kwa pamoja yaliunganishwa kwa pamoja nao wakapewa nafasi ya kubuni chochote walichoona kingewafaa kushonwa na kuwatoa vizuri kwenye mashindano yale.wakakaa chini ili wafikirie kwa pamoja ni kitu gani bora cha kubuni…lakini hawakua na chochote cha kufikiria,kwani miongoni mwao wapo waliopenda kubuni vazi la shetani wengine vazi la malaika na wengine vazi lenye mfano wa nyumba,ilimradi kila mshiriki alitaka abuni chake kitokacho moyoni. Lakini kiongozi wao neema mwakyusa aliingia na wazo la kiubunifu waliitaji kubuni mavazi ya kwenye maumbo ya siri ya binadamu.

Kwanza kabisa vijana wa watatu wawili  wa kike  na mmoja wa kiume wakajongea mbele utadhania jongoo anavyotembea wanawake wawili wakapimwa mmoja sindiria pamoja na chupi,ile sindiria na chupi vikadaliziwa maua maua akapewa sister Abella.kijana wa kiume akashonewa singlend pamoja na chupi nyeusi yenye mchanganyiko wa rangi nyeupe, nyuma ya ile chupi likaandikwa neno DUME LA MBEGU.zikashonwa socks ndefu nyeusi  pamoja na kiatu kimoja cheupe akapewa Johnson John

Baada ya kumalizia kazi ile ngumu sasa likabaki kundi moja matata na machachari kundi la hamtuwezi nalo likapewa ukurasa wa kuonesha vitu vyao vitu vikari vyenye ujuzi wa hali ya juu,kwa bahati nzuri vijana wengi wa kundi ili walikua na uwezo wa kushona kwa kutumia mikono na utaalamu wa kutumia mashine ya kushonea.

Wao binafsi walikubaliana kushona nguo za utamaduni au nguo za kizazi kipya,lakini nguo za utamaduni zilipewa nafsi kubwa sana,wakatwaa vitambaa vya kimaasai wakatwa pia ngozi ya ngombe,mbuzi,chui na kondoo,hawakusahau pia vijiti,fimbo,magome na urembo wa aina mbali mbali wa kiasili ulioambatana na shanga,herein,vipini vya puani,bangiri, na vikuuku vya miguuni.

Hatua ya kwanza ambayo wao waliifanya ilikua ni kuliviringisha vizuri lile vazi la kimaasai,kisha pamera akapewa alivae lilikua na rangi ya blue iliyo nakishiwa  kwa nakshi nakshi nyingi za urimbwende yaani shanga nyingi kwenye lile vazi .shingo ya pamera ikapambwa vizuri kwa shanga zenye umbo la duara.hawakuishia hapo wakachukua ngozi ya chui na ya kondoo wakamtengenezea pamera viatu pamoja na kikapu cha ngozi ya chui iliyochanganywa na ya kondoo pia wakamtengenezea pamera viatu na kikapu ndani ya kikapu wakaweka nyama,achilia mbali kibuyu kikubwa chenye maziwa kilifungashwa vizuri.

Pomoni  dia akatengenezewa nguo ya ajabu haswa kwani msichana yule alivikwa nguo iliyotengenezwa kwa kutumia  mifuko ya naironi au kama inavyoitwa RAMBO akafungashiwa na kifuko cha sarufet pamoja na magazeti hakika alivutia mno hata kiatu chake kilipambwa kwa kutumia gunia la kuwekea nafaka kama vile mahindi,maharagwe,mtama,kunde alizeti na njegere akatengenezewa ungo ulionakishiwa kwa kutumia gunia matunda mbali na mboga mboga nazo ziliwekwa kwenye ule ungo, akatwikwa chungu cha asili pamoja na mwiko wa asili  vilivyo nakshiwa shanga za asili ili kuleta mvuto kwa watazamaji.

Boga talenter akapewa vazi zuri la chui akapewa upinde mshale,mkuki pamoja na fimbo.juu ya kichwa chake akavishwa taji tukufu la kifalume lenye rangi ya dhahabu,viatu vyake vilitengenezwa kwa kutumia ngozi ya punda milia,achilia mbali kiti alichokalia kilinakshiwa kwa kutumia  ngozi ya simba na baada ya kutengeneza kiti chake safarii hii ilitengenezwa nyumba maalumu,nyumba yenye umbo la mbao lililomtosha yeye  mwenyewe ikapigiliwa vizuri ikapambwa maradufu kwa rangi  za

nakshi,nakshi, chumba kilikua ni kimoja tu pasipo choo pasipo sebule ila kiti kiti kimoja cha kifalme kiliwekwa banda lilipendeza likavutia kwa rangi ya bendera ya Tanzania.Vijana wanne yaani god listen,ndanda ngabi,Irene paul,na saba saba walifanya kazi ya kulibeba lile jumba kwa kutumia mbao maalumu kazi ikaisha.

Baada ya ile kazi nene tena inayo chosha,vijana wale wakapewa muda wa siku tatu mbele ili kupumzisha vichwa na akili zao na baada ya hapo wangerejea tena ili kuonyesha ufundi na utaalamu wao wa kiubunifu,ubunifu wa kimataifa.

 

 

 

 

 

 

 SIKU YA FASHION SHOW

Baada ya pumziko la siku tatu kwisha sasa nafasi ilioyo bakia ilikua ni nafasi ya kuonesha nini kipya cha kujivunia kutoka kwenye nyuso za vijana machachari vijana wa pande za sinza,temeke,kinondoni,manzese kawe,ubungo,studio,mbagara,sinza,kimara,tabata,gongo la mboto,kitunda,kinyerezi,magomeni mapipa,manzese midizini,mabibo tandika na buguruni.na wengine wengi kutokea mikoani kama vile mbeya iringa,taabora,Zanzibar,pemba,na unguja,rukwa,pwani,rufiji, na hata Arusha achiria mbali kilimanjaro na tanga.

Siku ile ilibadirika kidogo kwani tofauti na siku zingine ambazo msema chochote alikua mmoja sasa mwingine aliongezeka, masanja mkandamizaji, Bamboo pia alikuwepo Bamboo alikua ni mchekeshaji maharafu wa vichekesho vya the comedy  katika kituo cha East Africa television

Kipindi hiki waandishi mbalimbali wa vyombo vya habari kama vile televisheni,radio,magazett,website na blog walikuwepo achilia mbali wabunifu mbali mbali wa mavazi nao walikuwepo kama vile mbunifu hassan hasssano,mbunifu martini kadinda, mwanamitindo wa kimataifa miriamu odemba. Na wengineo wengi walikuwepo kushuhudia kwa macho yao kwani macho hayana pazia wala usitegemee kuambiwa njoo ushuhudie mwenyewe.

 Watu walitulia wakijisikilizia muziki mwororo kutoka kwa kijana machachari aliyekuja kwa kasi na  kupachikwa jina la mwanamuziki DIAMOND PLATTINUMZ wa kundi laWASAFI CLASSICSS aliwafanya watu wa injoy kwa wimbo wake matata wa NUMBER ONE alio tengenezea video south Africa

Baada ya hadhira ile kukaa na kungojea kwa muda ili kujua ni nini vijana watawavumbulia Mc massanja akishirikiana na Mc bambo walifungua pazia ili kuyakaribisha makundi yale yaoneshe utundu wao.kundi la wakari classics likapewa salute na heshima zote kwani safari ya kwanza ya kupanda milima na kuvuka mabonde walifanya vema sasa walitegemewa kuvumbua vitu vipya zaidi kwani waswahili wana kawaida ya kusema kipya kinyemi iweje kikose kidonda,kipya utembezwa na kibaya utangazwa.

Kwa mada na mapozi akapita kijana beni toto  pale kwenye zuria jekundu zuri refu utadhania bara bara ya rami,akawaonesha hadhira na waandishi wa habari nini cha kujivunia,singlend short,na viatu vya sufu watu wakapiga makofi na kumshangiria,Elia Abelia akakatiza kwa heshima zake zote utadhania anaenda kwenye harusi tena harusi yake yeye mwenyewe,vigere gere na vifijo vilimulika ukumbi ule kama vile taa ya group yenye mwanga mkari kama jua.hakika alipendeza kwani baadhi ya wanawake uvumilivu uliwashinda wakaachia mabusu ya midomoni mwao ……mwaaaaaaaa…….mwaaaaaaa…….kisssssss….kissssssss…..mwaaaaaa baby.

Safari hii Nairobi akaonesha kitu chake kikari cha kimataifa we acha tu kijana aling’aa,aliogaaa,alitakataaa,alipakaa,alivutia na kuacha midomo wazi kwa vazi lake refu lenye manyoya ya sufu,tena vazi la kipindi cha joto na viatu vikari kama   meno ya simba, picha ziliwaka waaaaaa…..waaaaaaa……waaaaaaa…..kila upande wenye blog wakaandika vyao na wenye website wakaandika vyao ili kupamba picha za habari.

Mc bamboo akawang’ata sikio ndugu watazamaji kuwa kundi lijalo ni kundi la pili maharufu la lazima tushinde watu waka kaa chonjo kuwatazama ,lerato binti mrefu mweupe akajivuta pale ukumbini kwa vazi lake la batiki nyeupe akifuatana na mama silivano kwa vazi maharufu la kina igeria zito lililo gharimu mamilioni ya shilingi, na baada ya mama silivano anduje naye akakatiza kwa kanga yake moja iliyoonesha maumbo yake yote ukitegemea binti huyu kutokea mkoa wa tabora alijaliwa hips za moto,mguu wa bia makalio yalonesa nessa hali iliyowapa wakati mgumu wanaume wakware

kwani kanga moja na miondoko ile ilisababisha miti yao iliyo jaa utomvu isimame kwa hasira kwani mingine ilianza kumwaga utomvu bila heshima na adabu lakini kwa bahati nzuri walikua wameketi kwenye viti na pia kila mtu alikua bussy kutazama kilicho mleta hakuna aliyejua la mwenzie maana jambo waso lijua litawasumbua.Kundi hili halikutia fora kwani hata baadhi ya wanafiki waliinama chini chini na kuanza kupiga midomo wakidai kuwa kundi limedorora, halina jipya

Mc masanja akalialika kundi la sisi ni balaa pamoja na kundi la simba dumezi na simba jikez waje waoneshe kipi ambacho wanajivunia mbele ya hadhira inayo watazama.

yallab!!! Toba……astaghafrah!!!laana hii laahaulaaah!!!! Msalie mtume!!aibu gani hii iliyoibua vicheko na kuvunja mbavu za watazamaji,wapo walioziba nyuso zao kwa aibu ya mwaka wapo walicheka mpaka mbavu zao kupasuka,waandishi na watazamaji pamoja na makamera men wao walimiminika kujichukuria habari iliyowacha midomo wazi.

Si jingine bali ni yale matukio ya kundi hili la nne na la tanokupita wakiwa wamepigilia vichupi,vimini,skafu na vikoi,achilia mbali sindiria.

waandishi wambeya wa magazeti ya udaku kama vile RISASI,UWAZI,IJUMAA,AMANI,na mengineyo mengi tu hawakua nyuma kuandika walicho kinyaka.wasomi na wana falsafa wengi waliibua maswali kuwa sasa mashindano talent show yanaelekea pabaya iweje midume mizima na mijike mizima ioneshe uchi wao mbele za watoto,watoto wa taifa la kesho taifa lililojaa maadili heshima na hekima taifa linalomcha Mungu na yesu kristo mwana wake wa pekee leo hii wana buni sifa chafu jamaniii nyie jamani!!!!.

Wapo walio coment kwenye magazet yao na dibate zao kuwa yale yalikua ni mashindano tu kwa maana hiyo ubunifu na utaalamu ni kitu kilichopewa kipaumbele….therefore wenyechuki waache chuki zao …chuki zao ni  za bure tena zina wasumbua.any way makundi haya mawili yalipongezwa na kuambiwa kwamba yamefanya vizuri jambo la msingi ni ku keep it up wasonge mbele maisha ni safari ndefu,maisha ni milima,maisha ni mabonde,maisha ni mito,maisha  ni every thing.

Mc massanja pamoja na Mc bamboo,waliwataka ndugu watazamaji wakae mkao wa kula na kunywa kwani tayari chakula kiliandikwa mezani na wagawa chakula walikua wapo tayari kuwalisha na kuwanywesha watazamaji vitamu tamu vinono nozi  hawakuwa wengine bali ni kundi la hamtuwezi.kwanza kabisa akapita bibie pamera…….yelloooo!!!! kwa vazi lake la kimasai bibie aliita fora mno,bibie alivyo mrefu kama twiga wa mbunga za ngorongoro akajipamba mavazi yenye shanga akajiachia kwa urembo wa herein,kipini,mikufu ya kimaasai na bangiri za kimaasai bibie alijipaka tope usoni na kila mtu alimsifia.

Dj choka alipomwona bibie pamera anakata mbunga bila wasi wasi,akaweka wimbo wa msanii mmoja maharufu ila kwa sasa hatunaye  tena duniani si mwingine bali ni ABEL LOSHIHIRARA MOTIKA  almaharufu kwa jina la  MR EBBO na wimbo wake wa mi mmaasai bwana…nasema mi mmaasai.

 

Pamera akaanza kucheza kama vile wanawake wa asili ya kimaasai.pomoni dia binti yule naye akafuatia  akiwa amejikwatua na kujipamba swaafii sana  kwa mavazi yake ya karatasi kila mtu aliye mwona alibaki kupigwa na butwaa  na bumbuwazi kwani hawakuamini kama kweli magazeti yana weza kushonwa na kuwa vazi zuri lenye mvuto wa aina ile hadhira ilifuraia sana kwani vijana walionesha hali ya kujituma zaidi kwani kutokana na jinsi pomoni alivyopendeza hakukosa mchumba pale pale.

Docta bingwa wa matibabu ya moyo katika hospitary ya muhimbili alivutiwa sana na ulimbwende wa pomoni dia,docta Erick akainuka na kwenda kumtunza manoti mekundu mekundu kibao, mapedeshee  nao hawakua nyuma kwani walipoona docta Erick anafanya yake nao wakajitoma zaidi kumwagia manoti  bibie pomoni dia.

ilipofika zamu ya boga talenter kila mtu alibakia na maswali mchanganyiko kwani hawakuelewa ni nini kilichokuwemo ndani ya ile nyumba,wapo waliodhani ni maiti ,wapo waliodhani ni gaidi,wapo waloidhani ni ni nyumba tu iliyo buniwa  wala hakuna chochote……..lakini ukweli ni kwamba uzaniacho ndio kumbe sio na jambo uso lijua ni kama usiku wa kizaa.

Mlango ulipofunguliwa vijana waliombeba boga talenter wakapiga saluti ya heshima kwa mfalme na pia hadhira nayoikafanya ishara yakupiga magoti kama vile waumini wa dini ya kiislamu wafanyavyo wakiwa kwenye ibada zao ilikua ni ishara ya heshima na taadhima kwa mfalme aliyebebwa kwenye kiti chake kitakatifu.

Hakika ukumbi ulijawa na furaha siku ile boga aliwavutia kila mtu si wana michezo si wana siasa si wana falsafa,siwatu wa kimataifa aliwavutia kila mtu ukitegemea duniia nzima ilikua ikiwaangalia wanavyofanya maajabu yao kupitia vyombo vya habari kama vile television ya TBC,ITV,STAAR TV,CHANNEL TEN,SIBUKA TV NA CITZEN TV na zinginezo nyingi.

Hadhira ilishangiria na kupiga makofi na baada ya kuondoka ile fulsa hadimu iliyo tazamiwa na wengi  na iliyotegemewa na wengi kuangalia product mbali mbali zilizotengenezwa na vijana wale wengi wlizinunua na wengine wakatoa oda ya kutengenezewa na kulipia baada ya  kazi kukamilika .

Lakini kabla ya matokeo kutajwa ya nani kashindwa na nani kashindwa Mc masanja nja Mc bamboo waliwataka ndugu watazamaji na ndugu wasikilizaji kutoa michango ya harambe ya kuwasaidia watoto yatima na wajane  pamoja na wakina mama wenye ugonjwa wa kansa ya matiti,pesa nyingi zilichangishwa karibia milioni ishirini ukitegemea ziliitajika million sita tu.Hakika kutoa ni moyo na usambe ni utajiri kwani damu ni nzito kuliko maji.

Baadaya ya kuchangisha pesa zile Mc masanja pamoja na  Mc bamboo waliwashukuru ndugu wageni ,majaji pamoja na washiriki, kwa moyo mzuri walijotolea na kwa ushirikiano bora walioufanya.lakini pia Mc  bamboo aliwatangazia watu wote mahari pale kwamba kuna mtu amepoteza funguo zake za gari,gari aina ya prado gari la kifahari zaidi akamtaka mtu yeyote aliyeiona funguo iyo arudishe mapema.kwani lile gari lilikua ni gari la kigogo fulani wa serkiali ya jakaya mrisho kikwete.lakini hakuna aliyejitokeza.

Baada ya nusu saa kupita majaji wakakaa mezani ili kutoa majibu ya mashindano yale.ukweli ni kwamba majaji walipendezwa sana na kazi ya makundi yote ,kwani ilikua ni kazi ngumu sana ,waliwapongeza sana na pia hawakuacha kuwakosoa pale ambapo waliona kuwa washiriki wamekosea. Au washiriki wanaitaji kurekebisha makosa au kutofanya makosa kabisa  katika mashindano yajayo.

 

Ikafikia kipindi cha kutangaza washindi wa mashindano yale ya mavazi jaji salama jabiri,akalitangaza kundi la hamtuwezi kuwa ndilo kundi bora na lililofanya vizuri katika mashindano yale ya fashion show,furaha zililipuka sangwe na nderemo vilimiminika utadhania maji ya mto Nile mto usiokauka milele katika jangwa la sahara.

 

Muheshimiwa waziri mulungu akasimama na kuwapamba maua kundi la wakari classics,kuwa ni kundi bora na la pili katika mashindano yale,vigeregere vilivyo ambatana na muziki wenye beat kari vilisikika mahari pale,ngoma na midundo ya aina mbali mbali vilitawala eneo lile.

Maadam ritta paulsean akawapa hai kundi la tatu la lazima tushinde kuwa ndilo kundi bora machachari nalo lilishika nafasi ya tatu kuibuka katika kinyanganyioro kile.jaji na producer maharufu bongo master jay naye akawatangazia ndugu watazamaji kuwa kundi la sisi ni balaa pamoja na kundi la simba dumez na simba jikez yalikamata nafsi ya nne ila aliyataka kuji keep bussy maana hawakufanya vizuri sana watu wakawapigia vigeregere makofi na nderemo.

Sasa ikawa ni zamu ya nani atoke nani abakie kuenderea na michuano ile,kila mtu aliye kaa upande wa hadhira alijisemea moyoni kuwa kundi la nne ni lazima wafungashe virago vyao kwani walionekana kuwa si lolote si chochote kwenye yale mashindano kazi gani kuonesha vichupi na miili yao ya heshima watu wazima hovyo….vya wazungu wa waachie wazungu na vya wa Africa viachwe Africa.jaji joyce kiria akapewa nafsi ya kutangaza kundi lipi linastahiri kutoka na kundi lipi au yapi yana stahiri kuenderea kudunda.

Maadam joyce kiria akasimama mahari pale naye akayapongeza makundi yote wala hakusita kuyakosoa pale yalipostahiri kukosolewa,lakini mwisho maadam kiria akatangaza kuwa halitakuwepo kundi lolote la kutoka kwani yote yame perform better ushindani ulikua ni mzito na pia ni wenye tija hivyo basi makundi yote yajiandae vema kwa mashindano mapya  yajayo.

ooooosh……my god!!!ndivyo sauti za washiriki zilisikika kumshukuru Mungu kwa kuwa nusuru kuingia kwenye kikapu cha takataka.

Makofi nderemo na vigere gere vilitawala eneo lile,mc masanja akawataka washiriki wote wajumuike kucheza muzik na kisha baada ya hapo ukumbi ule ungefungwa wakatangaziwa kuwa watakua na pumziko la juma moja na baada ya pumziko ilo walitakiwa kurejea tena kwenye mashindano.

mwanamuziki machachari wa muziki wa kizazi kipya bongo  naasibu abdul  au diamond platinumz akapewa nafasi ya kutumbuiza singo  yake machachari tamu masikion mwa hadhira iliyo kwenda kwa jina la  NIMPENDE NANI.kila mara hadhira waliposikia neno nimpende nani, wote kwa pamoja  wakajibu neno  ……woteeee…..

Ukumbi ule ukafungwa na watu wakatawanyika kurudi majumbani kwao maana ilikua ni mida ya saa sita usiku.

 

 yule kigogo wa serkiali alibaki amechanganyikiwa asijue nini cha kufanya ili aliondoe gari lake maana ufunguo ulipotea na hakujua ni wapi ataipata.alichanganyikiwa…akawa anatembea tembea hapa na pale….masikini kigogo alijiuliza maswali kibao yaso  na majibu.

 

Oh  my god who stole my car key?........imeenda wapi?.......nani kachukua ?.......nitamwambiaje mama watoto kuwa fungua ya gari zuri kama lile la kifahari imepotea?……..aaaash!!!!..... kadri alivyozidi kutembea ndivyo akawa anahisi kama kuna maumivu kidogo kwenye mguu wake wa kushoto,haraka haraka akavua kiatu ili kuangalia ni nini klinacho muumiza,Mungu wangu wee!!kumbe ni ufunguo,ufunguo wa gari yake mwenyewe furahaa ilimjia chozi lilimbubujika chozi la furahaa chozi la kuuraani uzembe na usahaulifu ulo mkabiri.

Taratibu akaenda kwenye gari lake na kuliwasha kisha akalitoa moto likapaa kama ndege ya  BRITSHI AIR WAYZ.

Tatizo la yule kigogo wa serkiali alikua na tabia ya kusahau sahauvitu mara kwa mara,hata akiwa bungeni muda mwingi alikua akiuchapa usingizi mate yalimtoka mdomoni utadhania  mboga mboga ya mrenda yalimsaidia sana kuchafua karatasi zake za hotuba hata alipoulizwa maswali kwani alijibu?

hapana alienderea na usingizi wake mnono kama samaki aliye shiba.

Hakukumbuka kwamba ni mambo yake ya kitoto yaliyomfanya aiweke funguo kwenye kiatu chake,hata hivyo kigogo yule siku ile alisahau kurudi Nyumbani kwake akajikuta anapita njia ya ohio huko nako akakumbana na wanawake wenye tabia ya kujiuza.

sura ya nne inaenderea


Sura ya nne

                            FASHION SHOW

Baada ya pumziko  fupi la siku tatu  kuisha makundi yote matano pamoja na washiriki walikutana tena  safari hii hadhira haikupewa nafasi ya kushiriki kwani  kwa siku tatu za mbeleni washiriki walipaswa kubuni mavazi na mitindo  mbalimbali na baada ya siku tatu  hadhira ilipewa nafasi ya kushuhudia  mizigo mipya  kutoka kwa vijana wenye vipaji na ubunifu wa hali ya juu.

Siku hiyo vitambaa vya aina mbali mbali walipewa vilikuwepo vya  utamaduni wa kimasai maharufu kama lubega, ngozi za wanyama kama vile pundamilia,simbachui,chetta,ngombe,kondoo,manyoya ya kuku,kanga,tausi,kuku na mikufu havikukosekana.

 

Vitambaa vya sufu,vitambaa vya pamba na vinginevyo laini laini walipewa sasa walichoitaji ni ubunifu wa mavazi aina yoyote ile.sheria mpya ilitangazwa kwamba kila kundi lilihitaji kutoa watu watatu watakaochuana  vikali iwapo kundi au makundi ya hao watu watafanya vibaya ndipo hao wenye kundi au makundi watafungasha virago ili kurudi makwao.

Kundi la lazima tushinde wakapewa kila kitu kilichohitajika kwenye ile shughuri pevu. Wao binafsi walipenderea kushona aina tatu za mavazi, kwanza kabisa walitengeneza  aina ya vazi la bakiti jeupe na kikoi chake akavishwa bibie lerato. Pili wakashona vazi lipendwalo na mwanamke wa Nigeria  vazi lililo daliziwa kwa maua maua pamoja na kiremba chake akavishwa mama silvano, na mwisho wakashona vazi la kanga hili vazi walilipa jina la mama Africa  bibie andunje akavishwa akapendeza.kwa bahati nzuri wengi wa washiriki kwenye kundi ili walikua na utaalamu wa kushona kwa kutumia cherehani.

Baada ya kumalizia shughuri ile pevu likaitwa kundi la wakari classics.nao wakapewa walichotaka,hawakua na makuu sana siku ile maana hofu ya kutokufanikiwa iliwatawala sana,ukitegemea hakuna yeyote miongoni mwao aliyejua kushona kwa kutumia  mashine ya cherehani ,lakini Mungu alivyo mwema walipata wazo kwamba iliwapasa wasife mioyo yao,waoneshe uzarendo wao hata kama mahari pale hakuna uzarendo, hivyo basi wakapata idea ya kushona kwa kutumia sindano ya mkonono iliyojulikana kwa jina la sewing niddle.

vijana watatu wa kiume wakaitwa mbele yao wakapimwa vizuri kila pande ya mwili wao, na baada ya kuridhika na ule upimaji vitambaa vya aina mbalimbali vilikatwa,taratibu zingine zilienderea kufuatwa kwa kutumia chalks,mikasi,uzi na sindano kulinganana na vipimo.

 Kwanza kabisa walichukua ngozi ya kondoo na kushona siglend na bahati nzuri ile ngozi ya sufu ilikua na manyoya mengi ,pili waka shone short au kaptura yenye ngozi ya sufu, na tatu wakashona kofia ya mkeka na kuweka ngozi ya sufu na wakamalizia kwa kushona viatu vya ngozi ya ngombe kwa kuwekea ngozi ya kondoo vazi lile alivishwa Beni Toto.

Baada ya shughuri ile pevu wakachukua kitambaa laini hicho wakakidarizi kwa kushona suti yenye rangi mbili mbele nyeupe na upande wa nyuma nyeusi,pia wakatafuta kofia nyeupe iliyopambwa ua jeusi akapewa Elia Abelia.

Baaada ya kazi ile matata wakashona  vazi moja matata lenye rangi nyeupe lililosheheni manyoya ya sufu nyeupe sufu safi iliyotoka nchi ya Canada bara la Australia,sufu ile ilisheheni manyoya pande zote tena vazi likawa refu .walipoulizwa lile vazi ni maalumu kwa ajiri ya nini wao wakajibu ni maalumu kwa ajiri ya kipindi cha baridi au kipindi cha barafu.chini ya lile vazi walitupia kiatu kimoja kirefu cha ngozi ya ngombe kilikua ni kirefu kama  magwanda ya jeshiniukitegemea kiatu kile kilizidia urefu mpaka kufikia mapajani viatu vile ni viatu ambavyo utengenezwa sana nchini Kenya akapewa Nairobi akavaa akawaka kwa kupendeza.na baada ya shughuri ile nene walipomaliza wakapewa ishara ya kuondoka.

Likaitwa kundi la sisi ni balaa na kundi la samba dumezi na simba jikezi maana safari hii yote kwa pamoja yaliunganishwa kwa pamoja nao wakapewa nafasi ya kubuni chochote walichoona kingewafaa kushonwa na kuwatoa vizuri kwenye mashindano yale.wakakaa chini ili wafikirie kwa pamoja ni kitu gani bora cha kubuni…lakini hawakua na chochote cha kufikiria,kwani miongoni mwao wapo waliopenda kubuni vazi la shetani wengine vazi la malaika na wengine vazi lenye mfano wa nyumba,ilimradi kila mshiriki alitaka abuni chake kitokacho moyoni. Lakini kiongozi wao neema mwakyusa aliingia na wazo la kiubunifu waliitaji kubuni mavazi ya kwenye maumbo ya siri ya binadamu.

Kwanza kabisa vijana wa watatu wawili  wa kike  na mmoja wa kiume wakajongea mbele utadhania jongoo anavyotembea wanawake wawili wakapimwa mmoja sindiria pamoja na chupi,ile sindiria na chupi vikadaliziwa maua maua akapewa sister Abella.kijana wa kiume akashonewa singlend pamoja na chupi nyeusi yenye mchanganyiko wa rangi nyeupe, nyuma ya ile chupi likaandikwa neno DUME LA MBEGU.zikashonwa socks ndefu nyeusi  pamoja na kiatu kimoja cheupe akapewa Johnson John

Baada ya kumalizia kazi ile ngumu sasa likabaki kundi moja matata na machachari kundi la hamtuwezi nalo likapewa ukurasa wa kuonesha vitu vyao vitu vikari vyenye ujuzi wa hali ya juu,kwa bahati nzuri vijana wengi wa kundi ili walikua na uwezo wa kushona kwa kutumia mikono na utaalamu wa kutumia mashine ya kushonea.

Wao binafsi walikubaliana kushona nguo za utamaduni au nguo za kizazi kipya,lakini nguo za utamaduni zilipewa nafsi kubwa sana,wakatwaa vitambaa vya kimaasai wakatwa pia ngozi ya ngombe,mbuzi,chui na kondoo,hawakusahau pia vijiti,fimbo,magome na urembo wa aina mbali mbali wa kiasili ulioambatana na shanga,herein,vipini vya puani,bangiri, na vikuuku vya miguuni.

Hatua ya kwanza ambayo wao waliifanya ilikua ni kuliviringisha vizuri lile vazi la kimaasai,kisha pamera akapewa alivae lilikua na rangi ya blue iliyo nakishiwa  kwa nakshi nakshi nyingi za urimbwende yaani shanga nyingi kwenye lile vazi .shingo ya pamera ikapambwa vizuri kwa shanga zenye umbo la duara.hawakuishia hapo wakachukua ngozi ya chui na ya kondoo wakamtengenezea pamera viatu pamoja na kikapu cha ngozi ya chui iliyochanganywa na ya kondoo pia wakamtengenezea pamera viatu na kikapu ndani ya kikapu wakaweka nyama,achilia mbali kibuyu kikubwa chenye maziwa kilifungashwa vizuri.

Pomoni  dia akatengenezewa nguo ya ajabu haswa kwani msichana yule alivikwa nguo iliyotengenezwa kwa kutumia  mifuko ya naironi au kama inavyoitwa RAMBO akafungashiwa na kifuko cha sarufet pamoja na magazeti hakika alivutia mno hata kiatu chake kilipambwa kwa kutumia gunia la kuwekea nafaka kama vile mahindi,maharagwe,mtama,kunde alizeti na njegere akatengenezewa ungo ulionakishiwa kwa kutumia gunia matunda mbali na mboga mboga nazo ziliwekwa kwenye ule ungo, akatwikwa chungu cha asili pamoja na mwiko wa asili  vilivyo nakshiwa shanga za asili ili kuleta mvuto kwa watazamaji.

Boga talenter akapewa vazi zuri la chui akapewa upinde mshale,mkuki pamoja na fimbo.juu ya kichwa chake akavishwa taji tukufu la kifalume lenye rangi ya dhahabu,viatu vyake vilitengenezwa kwa kutumia ngozi ya punda milia,achilia mbali kiti alichokalia kilinakshiwa kwa kutumia  ngozi ya simba na baada ya kutengeneza kiti chake safarii hii ilitengenezwa nyumba maalumu,nyumba yenye umbo la mbao lililomtosha yeye  mwenyewe ikapigiliwa vizuri ikapambwa maradufu kwa rangi  za

nakshi,nakshi, chumba kilikua ni kimoja tu pasipo choo pasipo sebule ila kiti kiti kimoja cha kifalme kiliwekwa banda lilipendeza likavutia kwa rangi ya bendera ya Tanzania.Vijana wanne yaani god listen,ndanda ngabi,Irene paul,na saba saba walifanya kazi ya kulibeba lile jumba kwa kutumia mbao maalumu kazi ikaisha.

Baada ya ile kazi nene tena inayo chosha,vijana wale wakapewa muda wa siku tatu mbele ili kupumzisha vichwa na akili zao na baada ya hapo wangerejea tena ili kuonyesha ufundi na utaalamu wao wa kiubunifu,ubunifu wa kimataifa.

 

 

 

 

 

 

 SIKU YA FASHION SHOW

Baada ya pumziko la siku tatu kwisha sasa nafasi ilioyo bakia ilikua ni nafasi ya kuonesha nini kipya cha kujivunia kutoka kwenye nyuso za vijana machachari vijana wa pande za sinza,temeke,kinondoni,manzese kawe,ubungo,studio,mbagara,sinza,kimara,tabata,gongo la mboto,kitunda,kinyerezi,magomeni mapipa,manzese midizini,mabibo tandika na buguruni.na wengine wengi kutokea mikoani kama vile mbeya iringa,taabora,Zanzibar,pemba,na unguja,rukwa,pwani,rufiji, na hata Arusha achiria mbali kilimanjaro na tanga.

Siku ile ilibadirika kidogo kwani tofauti na siku zingine ambazo msema chochote alikua mmoja sasa mwingine aliongezeka, masanja mkandamizaji, Bamboo pia alikuwepo Bamboo alikua ni mchekeshaji maharafu wa vichekesho vya the comedy  katika kituo cha East Africa television

Kipindi hiki waandishi mbalimbali wa vyombo vya habari kama vile televisheni,radio,magazett,website na blog walikuwepo achilia mbali wabunifu mbali mbali wa mavazi nao walikuwepo kama vile mbunifu hassan hasssano,mbunifu martini kadinda, mwanamitindo wa kimataifa miriamu odemba. Na wengineo wengi walikuwepo kushuhudia kwa macho yao kwani macho hayana pazia wala usitegemee kuambiwa njoo ushuhudie mwenyewe.

 Watu walitulia wakijisikilizia muziki mwororo kutoka kwa kijana machachari aliyekuja kwa kasi na  kupachikwa jina la mwanamuziki DIAMOND PLATTINUMZ wa kundi laWASAFI CLASSICSS aliwafanya watu wa injoy kwa wimbo wake matata wa NUMBER ONE alio tengenezea video south Africa

Baada ya hadhira ile kukaa na kungojea kwa muda ili kujua ni nini vijana watawavumbulia Mc massanja akishirikiana na Mc bambo walifungua pazia ili kuyakaribisha makundi yale yaoneshe utundu wao.kundi la wakari classics likapewa salute na heshima zote kwani safari ya kwanza ya kupanda milima na kuvuka mabonde walifanya vema sasa walitegemewa kuvumbua vitu vipya zaidi kwani waswahili wana kawaida ya kusema kipya kinyemi iweje kikose kidonda,kipya utembezwa na kibaya utangazwa.

Kwa mada na mapozi akapita kijana beni toto  pale kwenye zuria jekundu zuri refu utadhania bara bara ya rami,akawaonesha hadhira na waandishi wa habari nini cha kujivunia,singlend short,na viatu vya sufu watu wakapiga makofi na kumshangiria,Elia Abelia akakatiza kwa heshima zake zote utadhania anaenda kwenye harusi tena harusi yake yeye mwenyewe,vigere gere na vifijo vilimulika ukumbi ule kama vile taa ya group yenye mwanga mkari kama jua.hakika alipendeza kwani baadhi ya wanawake uvumilivu uliwashinda wakaachia mabusu ya midomoni mwao ……mwaaaaaaaa…….mwaaaaaaa…….kisssssss….kissssssss…..mwaaaaaa baby.

Safari hii Nairobi akaonesha kitu chake kikari cha kimataifa we acha tu kijana aling’aa,aliogaaa,alitakataaa,alipakaa,alivutia na kuacha midomo wazi kwa vazi lake refu lenye manyoya ya sufu,tena vazi la kipindi cha joto na viatu vikari kama   meno ya simba, picha ziliwaka waaaaaa…..waaaaaaa……waaaaaaa…..kila upande wenye blog wakaandika vyao na wenye website wakaandika vyao ili kupamba picha za habari.

Mc bamboo akawang’ata sikio ndugu watazamaji kuwa kundi lijalo ni kundi la pili maharufu la lazima tushinde watu waka kaa chonjo kuwatazama ,lerato binti mrefu mweupe akajivuta pale ukumbini kwa vazi lake la batiki nyeupe akifuatana na mama silivano kwa vazi maharufu la kina igeria zito lililo gharimu mamilioni ya shilingi, na baada ya mama silivano anduje naye akakatiza kwa kanga yake moja iliyoonesha maumbo yake yote ukitegemea binti huyu kutokea mkoa wa tabora alijaliwa hips za moto,mguu wa bia makalio yalonesa nessa hali iliyowapa wakati mgumu wanaume wakware

kwani kanga moja na miondoko ile ilisababisha miti yao iliyo jaa utomvu isimame kwa hasira kwani mingine ilianza kumwaga utomvu bila heshima na adabu lakini kwa bahati nzuri walikua wameketi kwenye viti na pia kila mtu alikua bussy kutazama kilicho mleta hakuna aliyejua la mwenzie maana jambo waso lijua litawasumbua.Kundi hili halikutia fora kwani hata baadhi ya wanafiki waliinama chini chini na kuanza kupiga midomo wakidai kuwa kundi limedorora, halina jipya

Mc masanja akalialika kundi la sisi ni balaa pamoja na kundi la simba dumezi na simba jikez waje waoneshe kipi ambacho wanajivunia mbele ya hadhira inayo watazama.

yallab!!! Toba……astaghafrah!!!laana hii laahaulaaah!!!! Msalie mtume!!aibu gani hii iliyoibua vicheko na kuvunja mbavu za watazamaji,wapo walioziba nyuso zao kwa aibu ya mwaka wapo walicheka mpaka mbavu zao kupasuka,waandishi na watazamaji pamoja na makamera men wao walimiminika kujichukuria habari iliyowacha midomo wazi.

Si jingine bali ni yale matukio ya kundi hili la nne na la tanokupita wakiwa wamepigilia vichupi,vimini,skafu na vikoi,achilia mbali sindiria.

waandishi wambeya wa magazeti ya udaku kama vile RISASI,UWAZI,IJUMAA,AMANI,na mengineyo mengi tu hawakua nyuma kuandika walicho kinyaka.wasomi na wana falsafa wengi waliibua maswali kuwa sasa mashindano talent show yanaelekea pabaya iweje midume mizima na mijike mizima ioneshe uchi wao mbele za watoto,watoto wa taifa la kesho taifa lililojaa maadili heshima na hekima taifa linalomcha Mungu na yesu kristo mwana wake wa pekee leo hii wana buni sifa chafu jamaniii nyie jamani!!!!.

Wapo walio coment kwenye magazet yao na dibate zao kuwa yale yalikua ni mashindano tu kwa maana hiyo ubunifu na utaalamu ni kitu kilichopewa kipaumbele….therefore wenyechuki waache chuki zao …chuki zao ni  za bure tena zina wasumbua.any way makundi haya mawili yalipongezwa na kuambiwa kwamba yamefanya vizuri jambo la msingi ni ku keep it up wasonge mbele maisha ni safari ndefu,maisha ni milima,maisha ni mabonde,maisha ni mito,maisha  ni every thing.

Mc massanja pamoja na Mc bamboo,waliwataka ndugu watazamaji wakae mkao wa kula na kunywa kwani tayari chakula kiliandikwa mezani na wagawa chakula walikua wapo tayari kuwalisha na kuwanywesha watazamaji vitamu tamu vinono nozi  hawakuwa wengine bali ni kundi la hamtuwezi.kwanza kabisa akapita bibie pamera…….yelloooo!!!! kwa vazi lake la kimasai bibie aliita fora mno,bibie alivyo mrefu kama twiga wa mbunga za ngorongoro akajipamba mavazi yenye shanga akajiachia kwa urembo wa herein,kipini,mikufu ya kimaasai na bangiri za kimaasai bibie alijipaka tope usoni na kila mtu alimsifia.

Dj choka alipomwona bibie pamera anakata mbunga bila wasi wasi,akaweka wimbo wa msanii mmoja maharufu ila kwa sasa hatunaye  tena duniani si mwingine bali ni ABEL LOSHIHIRARA MOTIKA  almaharufu kwa jina la  MR EBBO na wimbo wake wa mi mmaasai bwana…nasema mi mmaasai.

 

Pamera akaanza kucheza kama vile wanawake wa asili ya kimaasai.pomoni dia binti yule naye akafuatia  akiwa amejikwatua na kujipamba swaafii sana  kwa mavazi yake ya karatasi kila mtu aliye mwona alibaki kupigwa na butwaa  na bumbuwazi kwani hawakuamini kama kweli magazeti yana weza kushonwa na kuwa vazi zuri lenye mvuto wa aina ile hadhira ilifuraia sana kwani vijana walionesha hali ya kujituma zaidi kwani kutokana na jinsi pomoni alivyopendeza hakukosa mchumba pale pale.

Docta bingwa wa matibabu ya moyo katika hospitary ya muhimbili alivutiwa sana na ulimbwende wa pomoni dia,docta Erick akainuka na kwenda kumtunza manoti mekundu mekundu kibao, mapedeshee  nao hawakua nyuma kwani walipoona docta Erick anafanya yake nao wakajitoma zaidi kumwagia manoti  bibie pomoni dia.

ilipofika zamu ya boga talenter kila mtu alibakia na maswali mchanganyiko kwani hawakuelewa ni nini kilichokuwemo ndani ya ile nyumba,wapo waliodhani ni maiti ,wapo waliodhani ni gaidi,wapo waloidhani ni ni nyumba tu iliyo buniwa  wala hakuna chochote……..lakini ukweli ni kwamba uzaniacho ndio kumbe sio na jambo uso lijua ni kama usiku wa kizaa.

Mlango ulipofunguliwa vijana waliombeba boga talenter wakapiga saluti ya heshima kwa mfalme na pia hadhira nayoikafanya ishara yakupiga magoti kama vile waumini wa dini ya kiislamu wafanyavyo wakiwa kwenye ibada zao ilikua ni ishara ya heshima na taadhima kwa mfalme aliyebebwa kwenye kiti chake kitakatifu.

Hakika ukumbi ulijawa na furaha siku ile boga aliwavutia kila mtu si wana michezo si wana siasa si wana falsafa,siwatu wa kimataifa aliwavutia kila mtu ukitegemea duniia nzima ilikua ikiwaangalia wanavyofanya maajabu yao kupitia vyombo vya habari kama vile television ya TBC,ITV,STAAR TV,CHANNEL TEN,SIBUKA TV NA CITZEN TV na zinginezo nyingi.

Hadhira ilishangiria na kupiga makofi na baada ya kuondoka ile fulsa hadimu iliyo tazamiwa na wengi  na iliyotegemewa na wengi kuangalia product mbali mbali zilizotengenezwa na vijana wale wengi wlizinunua na wengine wakatoa oda ya kutengenezewa na kulipia baada ya  kazi kukamilika .

Lakini kabla ya matokeo kutajwa ya nani kashindwa na nani kashindwa Mc masanja nja Mc bamboo waliwataka ndugu watazamaji na ndugu wasikilizaji kutoa michango ya harambe ya kuwasaidia watoto yatima na wajane  pamoja na wakina mama wenye ugonjwa wa kansa ya matiti,pesa nyingi zilichangishwa karibia milioni ishirini ukitegemea ziliitajika million sita tu.Hakika kutoa ni moyo na usambe ni utajiri kwani damu ni nzito kuliko maji.

Baadaya ya kuchangisha pesa zile Mc masanja pamoja na  Mc bamboo waliwashukuru ndugu wageni ,majaji pamoja na washiriki, kwa moyo mzuri walijotolea na kwa ushirikiano bora walioufanya.lakini pia Mc  bamboo aliwatangazia watu wote mahari pale kwamba kuna mtu amepoteza funguo zake za gari,gari aina ya prado gari la kifahari zaidi akamtaka mtu yeyote aliyeiona funguo iyo arudishe mapema.kwani lile gari lilikua ni gari la kigogo fulani wa serkiali ya jakaya mrisho kikwete.lakini hakuna aliyejitokeza.

Baada ya nusu saa kupita majaji wakakaa mezani ili kutoa majibu ya mashindano yale.ukweli ni kwamba majaji walipendezwa sana na kazi ya makundi yote ,kwani ilikua ni kazi ngumu sana ,waliwapongeza sana na pia hawakuacha kuwakosoa pale ambapo waliona kuwa washiriki wamekosea. Au washiriki wanaitaji kurekebisha makosa au kutofanya makosa kabisa  katika mashindano yajayo.

 

Ikafikia kipindi cha kutangaza washindi wa mashindano yale ya mavazi jaji salama jabiri,akalitangaza kundi la hamtuwezi kuwa ndilo kundi bora na lililofanya vizuri katika mashindano yale ya fashion show,furaha zililipuka sangwe na nderemo vilimiminika utadhania maji ya mto Nile mto usiokauka milele katika jangwa la sahara.

 

Muheshimiwa waziri mulungu akasimama na kuwapamba maua kundi la wakari classics,kuwa ni kundi bora na la pili katika mashindano yale,vigeregere vilivyo ambatana na muziki wenye beat kari vilisikika mahari pale,ngoma na midundo ya aina mbali mbali vilitawala eneo lile.

Maadam ritta paulsean akawapa hai kundi la tatu la lazima tushinde kuwa ndilo kundi bora machachari nalo lilishika nafasi ya tatu kuibuka katika kinyanganyioro kile.jaji na producer maharufu bongo master jay naye akawatangazia ndugu watazamaji kuwa kundi la sisi ni balaa pamoja na kundi la simba dumez na simba jikez yalikamata nafsi ya nne ila aliyataka kuji keep bussy maana hawakufanya vizuri sana watu wakawapigia vigeregere makofi na nderemo.

Sasa ikawa ni zamu ya nani atoke nani abakie kuenderea na michuano ile,kila mtu aliye kaa upande wa hadhira alijisemea moyoni kuwa kundi la nne ni lazima wafungashe virago vyao kwani walionekana kuwa si lolote si chochote kwenye yale mashindano kazi gani kuonesha vichupi na miili yao ya heshima watu wazima hovyo….vya wazungu wa waachie wazungu na vya wa Africa viachwe Africa.jaji joyce kiria akapewa nafsi ya kutangaza kundi lipi linastahiri kutoka na kundi lipi au yapi yana stahiri kuenderea kudunda.

Maadam joyce kiria akasimama mahari pale naye akayapongeza makundi yote wala hakusita kuyakosoa pale yalipostahiri kukosolewa,lakini mwisho maadam kiria akatangaza kuwa halitakuwepo kundi lolote la kutoka kwani yote yame perform better ushindani ulikua ni mzito na pia ni wenye tija hivyo basi makundi yote yajiandae vema kwa mashindano mapya  yajayo.

ooooosh……my god!!!ndivyo sauti za washiriki zilisikika kumshukuru Mungu kwa kuwa nusuru kuingia kwenye kikapu cha takataka.

Makofi nderemo na vigere gere vilitawala eneo lile,mc masanja akawataka washiriki wote wajumuike kucheza muzik na kisha baada ya hapo ukumbi ule ungefungwa wakatangaziwa kuwa watakua na pumziko la juma moja na baada ya pumziko ilo walitakiwa kurejea tena kwenye mashindano.

mwanamuziki machachari wa muziki wa kizazi kipya bongo  naasibu abdul  au diamond platinumz akapewa nafasi ya kutumbuiza singo  yake machachari tamu masikion mwa hadhira iliyo kwenda kwa jina la  NIMPENDE NANI.kila mara hadhira waliposikia neno nimpende nani, wote kwa pamoja  wakajibu neno  ……woteeee…..

Ukumbi ule ukafungwa na watu wakatawanyika kurudi majumbani kwao maana ilikua ni mida ya saa sita usiku.

 

 yule kigogo wa serkiali alibaki amechanganyikiwa asijue nini cha kufanya ili aliondoe gari lake maana ufunguo ulipotea na hakujua ni wapi ataipata.alichanganyikiwa…akawa anatembea tembea hapa na pale….masikini kigogo alijiuliza maswali kibao yaso  na majibu.

 

Oh  my god who stole my car key?........imeenda wapi?.......nani kachukua ?.......nitamwambiaje mama watoto kuwa fungua ya gari zuri kama lile la kifahari imepotea?……..aaaash!!!!..... kadri alivyozidi kutembea ndivyo akawa anahisi kama kuna maumivu kidogo kwenye mguu wake wa kushoto,haraka haraka akavua kiatu ili kuangalia ni nini klinacho muumiza,Mungu wangu wee!!kumbe ni ufunguo,ufunguo wa gari yake mwenyewe furahaa ilimjia chozi lilimbubujika chozi la furahaa chozi la kuuraani uzembe na usahaulifu ulo mkabiri.

Taratibu akaenda kwenye gari lake na kuliwasha kisha akalitoa moto likapaa kama ndege ya  BRITSHI AIR WAYZ.

Tatizo la yule kigogo wa serkiali alikua na tabia ya kusahau sahauvitu mara kwa mara,hata akiwa bungeni muda mwingi alikua akiuchapa usingizi mate yalimtoka mdomoni utadhania  mboga mboga ya mrenda yalimsaidia sana kuchafua karatasi zake za hotuba hata alipoulizwa maswali kwani alijibu?

hapana alienderea na usingizi wake mnono kama samaki aliye shiba.

Hakukumbuka kwamba ni mambo yake ya kitoto yaliyomfanya aiweke funguo kwenye kiatu chake,hata hivyo kigogo yule siku ile alisahau kurudi Nyumbani kwake akajikuta anapita njia ya ohio huko nako akakumbana na wanawake wenye tabia ya kujiuza.