Tuesday, July 12, 2011

WANYAKYUSA..... HURITHI WAKE ZA NDUGU ZAO WANAPO FARIKI......

wanyakyusa ni kabila linalopatikana mkoani mbeya
wanaume ulithi wake pale inapotokea mume amefariki
mila hii ipo kwa wapogoro, wahee na makabila mengine
kwa sasa mila hii imepungua kutokana na presha ya watetezi
wa haki za binadamu na kutolewa kwa elimu inayoelezea ubaya
wa jambo ilo. zamani mila hii ilipew kipaumbele sana ndugu
waririthi mali nyingine za marehemu kama vile mashamba na
walikuwa wakipiga mahesabu na wake zao....
 
wakati wa msiba huwa kama wanaanzisha makazi kwa kwenda na vitu vya nyumbani  kama
vile mswaki mataulo na vinginevyo.....walifanya hivyo eti kwa kisingizio kuwa marehemu aliacha watoto wadogo wa kuwatunza

wapo ndugu walio lemazwa na fikra hizo  ndugu yao anapoumwa upiga mahesabu ndugu yao atakapo kufa warithi chochote kizuri ..... mwanamke akikataa kurithiwa na mume mpya utengwa mbali sana.......... lakini
kwa vile sasa kuna utandawazi na sheria kari watu ao wameanza kupunguza mila hizo

            ''  TUNAOMBA CHONDE CHONDE SERIKALI
HIINGILIE KATI HIZI NI MILA POTO
FU  KAMA TUTAENDEREHA KUKUMBATIA MILA HIZO ULE UGONJWA WA UKIMWI KAMWE HAUTAPUNGUA''
     ASANTENI.........

No comments:

Post a Comment