Wednesday, July 13, 2011

.........NAKERWA NA TABIA HII YA WANAMUZIKI WETU.......

Nimbo za wasaani wetu zimeenderea kuwa za aina moja
ingawa zinaimbwa na wasaani tofauti wakati mwingine unaona wasaani ni wawili au zaidi lakini aina hiyo ya utunzi hufanana utunzi ufanana kwa kiasi kikubwa  jambo ambalo binafsi linanikera sana.......

Ni hapo ninapoanza kuoji uelewa  na vipaji  vya wasaani wanaoshindwa kufanya kazi nyingine zaidi ya sanaa  sasa nyimbo ni za aina moja sasa utata unakuja zinapokuwa ni za mapenzi  ni jambo baya kupita kiasi  maana wakati mwingine mashairi ni yaleyalr  ila wanacho fanya ni kuyapindua juu chini au kulia na kushoto

hHili ni kushangaza  kama sio kuhuzunisha  lazima wasaani wenyewe mjitambue  kuwa nyie ni nani na mnafanya nini  na sanaa kwa ajili ya nani na nini  huu ni utumbo na unatakiwa upigwe vita na wadau wote  wakiwemo wasaani wenyewe wanaofanya kazi kwa kuangalia  na kuyabadirisha ili tungo hizo zionekane ni tofauti

Msaani  kama hana uwezo wa kuandika mashairi yake  ni vema akaachana nayo ili ajifunze kama mungu amempa kipaji  na hafanyi mzaa kwa kuuza sura na nyimbo mbaya au nzuri lakini imewai tungwa  na wasaani wenzao waliohumiza vichwa  kwa ajiri ya kazi hiyo

sanaa ni kazi kweli  lakini sio kwa wasaani wetu  kuona mtindo mzuri ni kubadirisha aina ya mashairi ya wenzao  na kuimba wao  tena jambo linalo fanya tungo zao kufanana kiasi kikubwa

Unafikia wakati  mtu anashindwa kutofautisha wasanii husika  kutokana na kero hiyo ya kuchakachuriana nyimbo zao wao kwa wao  kwa kuigana kiajabu ajabu  bila haya kwa wahusika


vichwa si navyo  na mnajiita kweli wasaani , sasa huo mtindo wa kuigana nyimbo zenu  kama kasuku una tokea wapi....please   and please tuache wizi mtupuuuuuu... kama sanaa imekushindeni tafuta kazi nyingine itakayo kuretea kipato na sio kufakamia vya wenzenu................................

                           tumia jasho lako.......

No comments:

Post a Comment