Friday, October 28, 2011

NAMWAGA TANOKWA WASHIKAJI WANGU MWANA FA ...NA MEMBER WENGINE KAMA TID [TOP IN DAR]KALA PINA NA KEISHA ...BIG UP MA MEN MUME DONE GOOD JOB..........

 Mwana fa msaani wakizazi kipya na wenzake keisha wanaaounda umoja uliochini ya mwamvuli uitwao Tanzania fleva unit [tfu]walipiga hatua kubwa dhiidi ya mapambano ya maharamia  wa kazi zao baada ya kule kulalamika kwao kusikokuwa na hukomo juu ya madai ya dhuruma dhiidi ya jasho lao  hatimae safari hii wameibuka kivingine wametoa mapendekezo kadhaa wa kadhaa wanayo amini kuwa yakiungwa mikono  na mamlaka inayo husika tatizo la uharamia litapungua sana nchini..
          kama mapendekezo yao yatazingatiwa serikali itavuna fedhab nyingi kupitia kodi itakayo kusanywa katika mauzo ya kazi zao,kinyume na hali iliyopo sasa a mbapo mauzo ya kazinyingiza wasaaninchini hayainufaaishi serikali kwasababu ni feki na wauzaji wake sio rasimi
          NIWAZO LIPI
     Wamepania kupeleka mapendekezo ya kuitaka serikali iwasilishe  mswaada bungeni utakao walazimisha wafanya biashara kuuza cd ,vcd ,dvd na kazi nyingine za kisaani ambazo zina nembo maalumu  ya tra [mamlaka ya mapato tanzania] .kupitia mpango huo mwana faa na wenzake wanaamini kuwa walaji wa kazi zao za kisaani watapata nafasi ya kutambua kirahisi kazi halisi zitakazo kuwa na nembo ya TRA dhiidi ya feki ambazo hazitakuwa na nembo hiyo..pia polisi na vyombo vingine vya vya kusimamia utekelezajiwa sheria halali za nchi watapata unaafuu wa kuwanasa wauzaji wa kazi feki na kuwapeleka mbele ya mkono wa sheria
                faida nyingine aliyoitaja mwana fa,kuwa jambo hili litaongezea taifa mapato kwani bada ya hapo hawatakuwa wakiibiwa sana kama zamani faida zitapatikana ikiwaserikali itatekeleza mapendekezo yao bila shaka kupitiawizara za viwanda  na biashara na habari utamaduni ,vijana na michezo....binafs ninawapongeza wakina mwana fa na pia kuwaunga mkono katika kubuni utaratibu mzuri  kama huo sasa ni kipindi cha mamlaka husika kushirikiana na TRA katika kubuni utaratibu mzuri wa kutekeleza haraka mapendekezo yaliyoenda shule  ya mwana fa na wenzake tena bila kusubiri ya pelekwe kwenye mamlaka  ofisini
    
        Wanaoshikilia dhamaana walizopewa na taifa  ktk kushughurikia haki za wasaani wawe wa kwanza kuwaita wakina mwana fa na kusikiliza hoja zao kuanzia AtoZ hawana sabab za kuchelewa kwani kila walichozungumza kuhusu uharamia kina fahamika  mifano ni mingi na tena ipo wazi sana  ....mwanzoni mwa mwaka jana maofisa wa chama cha haki miliki tanzania[cosota]kwakushirikiana na wenzao kutoka chama cha waandaaji filamu tz walitekeleza cd bandia5,200na mikanda bandia ya video 2,600
                         
   Wahusika wa wizi wa kazi hizo wananufaika na wasaani wanaishia kufa njaa na kubaki na umaharufu mkubwa wa majina yao ..kama TRA itatumika   serikali itaingiza mapato makubwa na wakati huo huo wasaani watanufaika kwa sababu kila kitu kitakuwa rasim sio kama ilivyo hivi sasa ...kama ungelipia kodi ya ongezeko la dhamani[VAT].  maaana mzigo huo mmoja uliowai kukamatwa  na kosota na watu wa filamu  ungeingiza serikali asilimia 18% ya thamani ya shilingi milion 5.94
                  Huo ni mfano wa namna ambavyo serikali imekuwa ikipoteza fedha nyingi kutokana na kodi isiyokusanywak kupitia mauzo ya kazi za wasaani zinazorudufiwa kinyume cha sheria ..sasa cosota iunge mkono wazo la akina mwana fa na kulipigia chapuo serikalini ili atimaye kupunguza uharamia wa kazi za wasaani kwa kufanya hivyo

No comments:

Post a Comment